Psalms 58:1-2
Mungu Kuwaadhibu Waovu
(Kwa Mwimbishaji: Mtindo Wa Usiharibu! Utenzi Wa Daudi)
1 Enyi watawala, je, kweli mwanena kwa haki?
Je, mnahukumu kwa unyofu miongoni mwa watu?
2 aLa, mioyoni mwenu mnatunga udhalimu,
na mikono yenu hupima jeuri duniani.
Copyright information for
SwhKC